Tom anaumwa jino. Jino lake linauma sana.
Tom ha mal di denti. Un dente gli fa molto male.
Anahitaji kumwona daktari wake wa meno, lakini kwanza anahitaji kitu fulani kwa ajili ya maumivu.
Deve andare dal dentista, ma prima gli occorre qualcosa per il dolore.
Anaenda katika duka la dawa la jirani.
Guida fino alla farmacia più vicina.
“Nina maumivu ya jino, una chochote cha kunisaidia?” Anauliza.
“Ho mal di denti,” dice. “Avete qualcosa per il dolore?”
“Ndiyo, hizi ni baadhi ya dawa za maumivu. Hauhitaji maelekezo ya jinsi ya kutumia dawa hii.”
“Sì, ecco degli antidolorifici. Non c’è bisogno di ricetta medica per comprarli.”
“Asante. Zinagharimu kiasi gani?”
“Grazie. Quanto costano?”
“Zinagharimu yuro tisa. Lakini ni lazima uonane na daktari wa meno.”
“Costano nove euro. Però dovresti andare da un dentista.”
“Sawa, nitampigia simu daktari wangu wa meno kesho asubuhi.”
“Okay, chiamerò il mio dentista domani.”
“Kama utahitaji dawa kubwa zaidi, utalazimika kupata maelekezo ya jinsi ya kuitumia kutoka kwa daktari wa meno au daktari.”
“Se hai bisogno di medicine più forti, ti occorre la prescrizione del tuo dentista o dottore.”