Tom anaumwa jino. Jino lake linauma sana.
O Tom tem uma dor de dentes. O dente dói-lhe muito.
Anahitaji kumwona daktari wake wa meno, lakini kwanza anahitaji kitu fulani kwa ajili ya maumivu.
Ele precisa de ir ao dentista, mas primeiro precisa de algo para as dores.
Anaenda katika duka la dawa la jirani.
Ele conduz até à farmácia mais próxima.
“Nina maumivu ya jino, una chochote cha kunisaidia?” Anauliza.
“Tenho uma dor de dentes,” diz ele. “Tem alguma coisa para isso?”
“Ndiyo, hizi ni baadhi ya dawa za maumivu. Hauhitaji maelekezo ya jinsi ya kutumia dawa hii.”
“Sim, aqui estão alguns analgésicos. Não precisa de receita médica para estes.”
“Asante. Zinagharimu kiasi gani?”
“Obrigado. Quanto é que custam?”
“Zinagharimu yuro tisa. Lakini ni lazima uonane na daktari wa meno.”
“Custam nove euros. Mas deve consultar um dentista.”
“Sawa, nitampigia simu daktari wangu wa meno kesho asubuhi.”
“Está bem, vou ligar ao meu dentista amanhã de manhã.”
“Kama utahitaji dawa kubwa zaidi, utalazimika kupata maelekezo ya jinsi ya kuitumia kutoka kwa daktari wa meno au daktari.”
“Se precisar de medicamentos mais fortes, terá de obter uma receita do seu dentista ou médico.”