“Una familia yoyote?”
“Do you have any family?”
“As-tu de la famille ?”
“Ndiyo, mimi na mume wangu tuna mabinti wawili na mtoto wa kiume.”
“Yes, my husband and I have two daughters and a son.”
“Oui, mon mari et moi avons deux filles et un fils.”
“Mimi pia nina mabinti wawili lakini nimeachika.”
“I also have two daughters, but I’m divorced.”
“J’ai aussi deux filles, mais je suis divorcé.”
“Mabinti zako wana umri gani?”
“How old are your daughters?”
“Quel âge ont tes filles ?”
“Mina ana miaka minne. Anasoma darasa la awali. Miriam ana miaka kumi, kwa hiyo, anasoma shule ya msingi.”
“Mina is four years old. She goes to preschool. Miriam is ten, so she goes to school.”
“Mina a quatre ans. Elle est en maternelle. Miriam a dix ans, donc elle va à l’école primaire.”
“Watoto wangu wote wanasoma. Mtoto wangu wa kiume atahitimu mwakani.”
“All of my children are in school. My son will graduate next year.”
“Tous mes enfants sont à l’école. Mon fils va avoir son diplôme l’année prochaine.”
“Vizuri sana! Wanakua haraka. Anataka kufanya nini baada ya hapo?”
“That is great! They grow up so fast. What does he want to do afterwards?”
“C’est super ! Ils grandissent si vite. Qu’est-ce qu’il veut faire après ?”
“Anataka apate kazi lakini badala yake ninamshauri aende chuo kikuu.”
“He wants to get a job, but I tell him he should go to university instead.”
“Il veut travailler, mais je lui dis qu’il devrait plutôt aller à l’université.”
“Ni wazo zuri. Ninatumaini pia siku moja wanangu wataenda chuo kikuu.”
“That’s a good idea. I also hope my children will go to university someday.”
“C’est une bonne idée. J’espère aussi que mes enfants iront à l’université un jour.”